NGUVU YA USHINDI NDANI YA YESU KRISTO NI UJASIRI MKUBWA WA KUTENDA KWA USHINDI NA KUINUA BENDERA YA WOKOVU.
Friday, October 4, 2013
NGUVU YA MUNGU UKIWA TAYARI UMEMWAMINI
Mungu ni mwenye nguvu! Mungu ni muweza! Mungu ni mtakatifu! Mungu ni mponyaji! Mungu ni jibu! Mungu ni kimbilio! Mungu ni alfa na omega! Mungu ni njia! Mungu ni mtetezi! Mungu ni tegemeo! Mungu ni mwenye huruma! Mungu hujibu maombi! Mungu ni mwaminifu! Mungu ni mtakatifu! Mungu hubariki! Mungu husamehe! Mungu ni muunganishi! Mungu ni hakimu! Mungu ukitubu husamehe dhambi! MUHESHIMU MUNGU UPATE KUUKULIA WOKOVU KIROHO PIA KIMWILI.UKIMJUA VEMA MUNGU WACHAWI WASHIRIKINA HAWANA MAMLAKA KWAKO UTAKAPO KANYAGA HAKIKA MUNGU AMETUAKIKISHIA NI PETU! FUNGA NA KUOMBA UPATE UELEWA KUHUSU MUNGU VILE ATENDAVYO KAZI KATIKA ULIMWENGU WA ROHO! HAKIKA UTAPATA MAFANIKIO USIYO TARAJIA KIBINADAMU. Mwanini MUNGU SIKU ZOTE ZA MAISHA YAKO KUNA FAIDA NA WALE WALIO INGIA KATIKA UWEPO WA MUNGU WAMESHUHUDIA! Ameni!!!
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment